MTOTO WA TAJIRI AFARIKI NAKUOZEA NDANI ARUSHA, MWILI WAZIKWA HAPOHAPO "UMEHARIBIKA SANA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 мар 2025

Комментарии • 442

  • @robertigohe7477
    @robertigohe7477 9 месяцев назад +153

    Poleni sana wana Arusha,pia ninazidi kuwakumbusha kuwa Yesu anawapenda pia ni mwokozi ktk jamii,mtu akimpokea kuwa Bwana na mwokozi wa maisha ya mtu huyo,ataokoka na atakuwa na uzima wa milele

    • @tarsilatesha-el8qu
      @tarsilatesha-el8qu 9 месяцев назад

      Polen sana familia

    • @RabiaIddi-ci2uz
      @RabiaIddi-ci2uz 9 месяцев назад +5

      Kwahiyo ukimpokea yesu huto kufa kabisa utaishi milele kama mlima?

    • @Leahmjohn
      @Leahmjohn 9 месяцев назад +6

      @@RabiaIddi-ci2uzutakufa lkn utapata mwisho mwema

    • @africa7479
      @africa7479 9 месяцев назад +1

      ​@@Leahmjohn wale watawa wanaojiua hawajampoka kumbe?

    • @mmassyferguson4959
      @mmassyferguson4959 9 месяцев назад

      @@RabiaIddi-ci2uzmlima hauish milele

  • @eliudjoram1504
    @eliudjoram1504 9 месяцев назад +48

    Poleni sana, Mdogo wake marehemu nimependa utulivu wake, he is a really man

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 9 месяцев назад +5

      Yes, ni mtulivu, kumbe nawe umeona ee

    • @RabiaIddi-ci2uz
      @RabiaIddi-ci2uz 9 месяцев назад

      ​@@easternyerembe7271mmm! anamke jamani acheni hizo😂

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 8 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂wamesifia Tyuu​@@RabiaIddi-ci2uz

  • @mcback4384
    @mcback4384 9 месяцев назад +42

    Yesu Kristo pekee ndio njia kweli na uzima, ukishakufa hakuna mtu atataka hata kukusogelea haijalishi ni nani wako watu wanaojivunia watu na vitu bila kujua kuna wakati havina msaada kwako, Yesu Kristo yupo nawe nyakati zote katika hali zote.

    • @Asiaha-l7q
      @Asiaha-l7q 5 месяцев назад

      ,😂Yuko wap nawe yesu Yuko kwa ALLAH ALIYE karbu nawe ni muumba wako yesu pia aliumbwa na ALLAH tumboni mwa Mariam

    • @mcback4384
      @mcback4384 5 месяцев назад

      @@Asiaha-l7q Kwahivyo unataka kusema Yesu Kristo nae kapewa mabikira 72 na Allah na nguvu za kiume za wanaume 100 na mito ya pombe za aina zote huko jannah? Dada Mungu wetu Muumba mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana sio Allah

    • @Asiaha-l7q
      @Asiaha-l7q 5 месяцев назад

      @@mcback4384 kupewa nisawa kwa maana yesu ni mwislam shida iko wap we ukupenda usipende yesu ni mtume kama mitume wengine walotangulia tofaut ALLAH alitoa miujiza kuzaliwa bila Baba naiyo ulikuwa mtihani kwetu cc ALLAH ndiye mmilik wa dunia na cc uyo yesu pia cku ya HUKUMU atakuwana kes ajibu ndo aingie peponi kwa manake ataulizwa nilikupeleka duniani ukatoe Sheria zaangu ama nilikuambia ukaseme wewe ni mungu na yesu hapo hatawaruka mbali Sana cjui cku iyo myetez wenu atakuwa Nani cku iyo na hata iyo cku ya HUKUMU pia nimbali yesu atashushwa na aoe azae uliona mungu akiowa mke ebu gfkrie mie chaajabu pia hamfkirii mungu wakuket tumboni mwez Tisa mmm kaz nnayo kabla yeye kuzaliwa Nani alikuwa anacontrol dunia sasa nakuambia yesu ni mtume WA ALLAH tofaut Hana Baba naiyo nimiujiza ya ALLAH

    • @Asiaha-l7q
      @Asiaha-l7q 5 месяцев назад

      @@mcback4384 AKILI YAKO INAFANYA KAZ ET ALIYE UMBA DUNIA NIYESU🤣🤣🤣 ADAM ALIKUWA WAP CKU IZO KAMA YESU NDO ALIUMBA DUNIA YAANI KWA AKILI ZAKO UJIULIZ KAMA NDIYE ALIUMBA DUNIA YESU ALIUMBA MARIAM 🤣 ALAFU AKAINGIA TUMBONI KE IYO YAKO KALI KABLA YA YESU KULIPITA WATU WANGAP JIULIZE YE ALIUMBA DUNIA NA KINA ADAM , IBRAHIM NAWENGI WALIKUWAPO SASA JIULIZE WEWE MWENYEWE ALIUMBA MARIAM ALAFU AKAINGIA TUMBONI 🤣 ALLAH NDIYE MMILIK WA MBINGU NA ARIDHI NA VILIVYOMO PAMOJA NA MTUME ISA BIN MARIAM MKAMUITA YESU PERIOD

    • @hawaalawi272
      @hawaalawi272 5 месяцев назад

      ​@@mcback4384y3su nae ameumbwa ,yesu anakunya ,analala,Allah pekee ndo wakumtegemea halsli wala asinzii

  • @AshuuuBakari
    @AshuuuBakari 9 месяцев назад +39

    Subhannallah daaah jamani mwenyezi mungu atupe mwisho mwema

  • @salimanguzo5553
    @salimanguzo5553 9 месяцев назад +74

    Mtu anapesa hanamke hana mfanyakazi hana rafiki wakuishinae Wala ndugu mmh mtihan usikumrefu jamani wawili ni wawili kifo ni wajbu ila mkiwa wawili sihaba uwezi ozea ndani

    • @ednamunuo354
      @ednamunuo354 9 месяцев назад

      Upo and 8.Innocent 0:39 😅iikkkii😅998😊99909

    • @musampanda3643
      @musampanda3643 9 месяцев назад

      Alisafiri mke

    • @HannanSomaiyah-wp7ny
      @HannanSomaiyah-wp7ny 9 месяцев назад +5

      Dah!Kwa hakika kila unapo ingia kulala tujikabidhi kwa Muumba, Mungu alisha mpangia hata Kama angekuwa ns Mke ,mfanya Kazi,su tafiki ndungu,Wasinge jaaliwa kumuona wakat anakufa,Kifo chake kilishaandikwa afe peke yake 🙏 Mungu akampe pumziko la milele,

    • @directorabiero340
      @directorabiero340 9 месяцев назад

      Poleni sana

    • @kevinkatima4975
      @kevinkatima4975 9 месяцев назад

      Inaleta maana dah!

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 9 месяцев назад +2

    Polen sana wanafamilia. Mungu Awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu. Marehemu Mungu Ampokee mja wake kwa aman.

  • @rachelndaki5642
    @rachelndaki5642 8 месяцев назад +1

    SubhannALLAH 😭😭ALLAH tupe mwisho mwema YARABBI🤲🤲

  • @agnesmartin5716
    @agnesmartin5716 9 месяцев назад +8

    Eee Mungu tusaidie Taifa la Mungu kama vijana Bwana atusaidie. Nimeumia sana hakika

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 9 месяцев назад +22

    Msilaumu familia nyingine hazina mawasiliano ya kila cku labda kma kuna taarifa mpya au changamoto yoyote ile ndio mawasiliano yanakuwa mengi mm mwenyewe tu kuwasiliana kila cku na nyumban kwetu au ndugu zang ni fumbo kwasabab za kimaisha unawaza kesho yko unawaza mambo kibao salam unaona hazina muda wakati huo kwasabab za kikazi

    • @AshuraMaulid
      @AshuraMaulid 9 месяцев назад

      kweli aisee

    • @linnusaloyce6559
      @linnusaloyce6559 6 месяцев назад

      @@AshuraMaulid ndio ivyo dada yangu ila cyo km hatuwapendi ila ubize ndugu yangu

    • @KhadijamussaMachapat
      @KhadijamussaMachapat 4 месяца назад

      Tena aswaa matajiri Awana muda wa kufuatanafutana kama Sisi Masikini maana Sisi shida zetu zinatufanya tufuatane sasa wenye Pesa Awana muda %😭😭😭

  • @jumahili8121
    @jumahili8121 9 месяцев назад +8

    YESU KRISTO ni Bwana. Mwamini leo uokoke. Siku ya kufa upumzike. Maisha haya ni kivuli cha maisha yajayo. Kama alikuwa na YESU kuozea ndani sii tatizo. Sasa atakuwa amepumzika

  • @jamesmaths2296
    @jamesmaths2296 9 месяцев назад +46

    Kuna maswali ya kujiuliza hapa kuhusu response ya Baba mzazi baada ya mdogo mtu kumpa taarifa ya harufu. Badala ya Baba kwenda eneo la tukio fasta alimpa maagizo ya kuita polisi. Baba mzazi alitakiwa awe wa kwanza kushirikiana na uongozi wa mtaa kuvunja mlango na siyo kusubiri polisi. Mtoto anauma jamani na mimi naongea kama baba maana kuna sintofahamu hapa ambayo iko very clear.

    • @colletatesha5265
      @colletatesha5265 9 месяцев назад +3

      We hujui kufiwa funga bakuli lako

    • @Thomas-lm1dq
      @Thomas-lm1dq 9 месяцев назад +11

      Unajua baba yake aliuwa na hali gani kiafya?
      Alikuwa wapi muda huo?
      Alikuwa na usafiri karibu?

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 9 месяцев назад +4

      @@Thomas-lm1dqbora useme mana watu wengine kazi zao ni dhana potofu tu bila kujua huyo baba alikua katika mazingira gani

    • @RabiaIddi-ci2uz
      @RabiaIddi-ci2uz 9 месяцев назад +1

      Me naona hata huyo mdogo mtu majibu yake ni mepesi sana. ni kama vile alikuwa tayari anauhakika jamaa kafariki 😢

    • @yodeatv.com15
      @yodeatv.com15 9 месяцев назад

      huyo mdogo mtu napata mashaka nae sana kwa maelezo yake. binadam tumetofautiana uwezo wa kutafsir Mambo lkn mm namuunga mkono mtoa post hii Kuna kitu huenda kimejificha

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 9 месяцев назад +116

    Halafu maisha ya mtu kuishi peke yake ndani siyo vizuri mtu anaweza kufa kwa tatizo dogo tu kwa kukosa huduma ya kwanza

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 9 месяцев назад +13

      Nahicho ndiyo kilicho muuwa huyu chali mm na mfahamu Sana anaugojwa wakifafa

    • @RachelMalekela
      @RachelMalekela 9 месяцев назад +4

      Kumbesasa kwann akaepekeake jamani

    • @AshuuuBakari
      @AshuuuBakari 9 месяцев назад

      ​@@deogratiusyudatadei5658mwenyezi mungu amhaalie kauri thabit

    • @Hellen-i2y
      @Hellen-i2y 9 месяцев назад +3

      Kweli kabisa vema kuishi hao na mtu mmoja

    • @betricemainoya4176
      @betricemainoya4176 9 месяцев назад

      ​@@deogratiusyudatadei5658ooohhh

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 9 месяцев назад +7

    HUYO SIO MTOTO WA TAJIRI....MTOTO WA TAJIRI LAZIMA AWE NA UANGALIZI,,HASA KAMA HUJAOA LAZIMA BABA-MAMA MDOGO AU RAFIKI LAZIMA MMOJA WAPO AKUCHEKI..SIKU NZIMA INAPITA HUJAONEKANA WATU HAWASTUKI NI MATAJIRI GANI HAO??MNAISHI VIPI??

  • @hamisaally968
    @hamisaally968 9 месяцев назад +12

    Uyo mdogo wake mbona aelewiki pia kama anataka kuchekaa😢 haojiwe vizuriii uyoo, unasikia harufu ujui ya nini unapiga simu kwa baba kwa nini usingepiga simu ya marehemu maana ndo anaishi hapo?

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 9 месяцев назад +2

      Nami sijamuelewa😢

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 9 месяцев назад +3

      @@ElizabethWamcha ata mie ndugu kwa nini amtafute baba wakati kaka akee ndo anaishi hapo pia alikuwa ajui nini kimempata au kutokea mi naona mtu wa kwanza kumtafuta angekuwa uyo marehemu

    • @FaustinMarko-t6y
      @FaustinMarko-t6y 9 месяцев назад

      Yesi

    • @bonifacejames34
      @bonifacejames34 8 месяцев назад +3

      Hawezi kueleza Kila kitu hapo lakini kwa akili ya kawaida tu mpaka anamtafuta Kaka yake ina maana hakumpata hewani kwa muda au simu ilikuwa haipokelewi

    • @uwezontalengwa1827
      @uwezontalengwa1827 8 месяцев назад

      ​@@hamisaally968hata mi sjaelewa,,et akampigia baba

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 9 месяцев назад +13

    Ss kama kaskia arufu alafu aingie bila kuwepo mtu wa ziada je angeiona Hali ya kk yake akazirai nae c angeingia kwenye matatizo jman au angeambiwa yeye kafanya tukio lazima majirani wawepo balozi au mwenyekiti wa kijiji ili atoe izini ya kuvunja mlango kujua kulikoni msiisi vibaya ivyo watu wapo kwenye maumivu ya kumpoteza mwana familia yao tupunguze fikra potofu

    • @dazuujuma778
      @dazuujuma778 9 месяцев назад

      Hakika na umenena vyema

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 8 месяцев назад

    poleni sana ndugu na jamaa maisha ya mwanadamu hapa duniani ni mafupi sana lakini hilo tukio liwe fundisho kwa jamii mtu upaswi kuishi pekeako kwenye jumba kubwa kama hilo kuna shida unaweza kutokea na ukaitaji msaada na ukaukosa ndio kama uyo ndugu yetu aliefariki pekeake na kukosa msaada mwili kualibika

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 9 месяцев назад +10

    Baba anasema Katie polisi kwanza badala ya kuingia ndani kama mwanàfamilia na kuchunguza kisha wamemzika fasta hapohapo nyumbani kabla ya kuchunguza sababu za kifo hata Kama ameoza 😮 aisee hii Wala haihitaji Elimu Wala degree mtu mwenyewe D mbili atakuwa ameelewa

  • @KhadijamussaMachapat
    @KhadijamussaMachapat 4 месяца назад +2

    Kwani uwa amuwasiliana jamanii🙄🤔inamaana mtu anaoza ndani ehe

  • @Mhandisi2008
    @Mhandisi2008 9 месяцев назад +33

    Rest in peace rafiki yangu BENSON, Collegemate wa ARUSHA TECHNICAL COLLEGE.

  • @salmakeitha3846
    @salmakeitha3846 9 месяцев назад +42

    Maisha yana Siri kubwa sna 😢Mungu ndo anajua zaidi

  • @ElaremisaTuwati
    @ElaremisaTuwati 4 месяца назад

    Poleni sana wapendwa kwakupoteza kina wenu mungu awefarajakwenu kwakipindi iki kigumu

  • @ElizabethNyabu-q1x
    @ElizabethNyabu-q1x 11 дней назад

    Duh jaman tusiishi wenyewe jaman dah nimeumia piah jaman😢😢😢😢vifo vigumu hvy

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 9 месяцев назад +2

    Poleni sn Wanafamilia, Mungu awatie nguvu.

  • @tupacthedon7104
    @tupacthedon7104 9 месяцев назад +9

    Arusha ni kama soweto ya South Africa,eeh Yesu tujalie mwisho mwema

  • @Nancy_Daniel
    @Nancy_Daniel 9 месяцев назад +4

    Polen sanaaa Lee❤️🙏. May your brother's soul rest in peace🕊 amen 🙏.

  • @aby21111
    @aby21111 8 месяцев назад +2

    1 or 2 weeks? Why not call him before you go, why no one called him all the days he was absent.

  • @barnabasstanslaus6895
    @barnabasstanslaus6895 9 месяцев назад +3

    We are together mda huo wote I think itakuwa nii i do know but nafikiri ni Mungu tu 😢😢😢

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 9 месяцев назад +1

    Inna lillah wainna ilah rajiun Baki Allah tu 🙏 Allah ampe kaul thabity

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 9 месяцев назад +4

    Siku ya kufa utakufa tu hata kama umezungukwa na watu 100. Unaweza kuwa umezungukwa na watu ukadondoka hata chooni ukafa peke yakom na ukishakufa hata kama una watu 700 hapo haisaidii na mwili unabaki hauna hata maumivu yoyote. Tujifunze kumuamini Mungu na kuishi pia vile tunavojisikia kuishi. Kama mtu anataka kuishi mwenye we na aachwe aishi mwenyewe. Tatizo watanzania engi hatujafundishwa kuheshimu matajwa ya watu na machaguo yao katika maisha.

    • @RhodaKabuka-cw3uw
      @RhodaKabuka-cw3uw 9 месяцев назад

      Exactly

    • @FaustinMarko-t6y
      @FaustinMarko-t6y 9 месяцев назад

      Nisawa kufa kupo tu ila angekuwa wako wawil asingeoza namna hii

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 8 месяцев назад

      ​@@FaustinMarko-t6y Sawa laki kuoza au kutokuoza hakusaidii kitu mtu akishakufa

  • @saumsaid1966
    @saumsaid1966 9 месяцев назад +2

    Hapa tunajifunza km unaishi pekee yangu uwe na utamaduni wa kusalimia kila siku asubuhi japo wazee au ndugu. Ili ikitokea siku hujasalimia. Wakutafute na waseme sio kawaida yake kutokupigia sm na kusalimia

  • @neemanyimbi2355
    @neemanyimbi2355 8 месяцев назад +8

    Uyo dogo anajua kitu mchukueni maelezo vizuri

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 8 месяцев назад +1

    Ukisikiliza vizuri kuna kitu unaenda kwa ndugu yako ukasikia harufu kwanini usiifuate hiyo harufu mpaka ujue ni kitu gani? Na unaanza kupiga sim kama vile unajua kuna tatizo,hata kumuita ukishindwa? Mtakua mnajua nyie kifo cha huyo ndugu yenu,na siku zote hizo hamjawasiliana? Haiwezekani

  • @FatumaJumanne-p4d
    @FatumaJumanne-p4d 9 месяцев назад +12

    Cku hz rahc kufa pekee yako yaan ndg zako unaweza kaa hata wk au Zaid na wacsh2ke kwa ukmya wako vjana muoe au mutafute ndg zenu Waco na makaz muish nao kama ndg unahc Hatareee bhac tafuta Dada wa kaz😢😢😢😢😢

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 9 месяцев назад +1

      Maisha yamebadilika sana

    • @FatumaJumanne-p4d
      @FatumaJumanne-p4d 9 месяцев назад

      @@faidhamyovela179 Hakka 2naish kwenye don't spy malife

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 8 месяцев назад +2

      Mimi nakaa hata miaka 2😂😂😂😂 sasa sijui itakuwaje😂😂😂😂

    • @FatumaJumanne-p4d
      @FatumaJumanne-p4d 8 месяцев назад

      @@cbegram6161 Yaan ujiandae kuangukiwa na nyumba ndio kabur lako Maan unaweza ukute Umelipa kodi ya miaka mwenye nyumba hakudai utajzka mwenyewe 😂😂😂😂🤦‍♀️MUNGU a2str

  • @joharikitundu
    @joharikitundu 9 месяцев назад +13

    Hii tabia mbaya sana .Tafuta mtu 1 Hadi 5 .Kila siku asubuhi uhongee nayo na kabla ya kulala sema tu usiku mwema

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 9 месяцев назад

      Kweli kabisa ndugu, mimi kuna ndugu yangu anaishi Tanga peke yake ikigika jioni sijamsikia lzm nimtafute

    • @florakibona8042
      @florakibona8042 9 месяцев назад

      Nimewaza kuwa hii familia hawawasiliani au ndo matajiri wapo hivi😭.. kiukweli tunatakiwa kupigiana simu kila sıku na ukiona ndugu yako hapokei simu siku nzima fanya mpango wa kumtembelea

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 8 месяцев назад +1

      @@florakibona8042mi nakaa hadi miaka miwili😂😂😂😂😂 sijaongea na ndugu wala kuonana, hapafi huyubwa siku tatu mnamlaumu😂😂😂😂 sasa mm si ndiyo ningeoza na kuisha kabisa yani watakuja kuta mifupa hawa ndugu zangu😅😅😅😅 na hivi nalipa kodi ya mwaka😂😂😂 hta sijui kiukweli

  • @Emma_Bernard
    @Emma_Bernard 7 месяцев назад +1

    Nimesoma nae huyu Brandon, asee pole sana kaka

  • @DorokasiIssa
    @DorokasiIssa 9 месяцев назад +5

    Poleni sana wapendwa mungu awatie nguvu

  • @idarousomar1
    @idarousomar1 9 месяцев назад +11

    Kuna umuhimu mkubwa mno wa kuishi na majirani na kujichanganya nao vile vile

  • @hamisaally968
    @hamisaally968 9 месяцев назад +1

    Kwa nini umpigie simu baba badala ya marehemu ambaye anaishi hapo? Alafu mtoto wa kiume umeita watu kwa nini usiongozane nao kujua kinachotoa harufu, uyu mdogo wake aangaliwe kwa jicho la pili

  • @deograciousrugambwa2054
    @deograciousrugambwa2054 9 месяцев назад +9

    Mortuary wanakataa mwili sasa postmortem atafanyikaje?? Hii nchi ya hovyo sana

    • @ericdaniels2608
      @ericdaniels2608 9 месяцев назад +1

      Uko sahii kabisa, uchunguzi unafanywaje hapo. Ovyo kweli.

    • @gabrielutou20
      @gabrielutou20 9 месяцев назад +2

      Mojawapo ya sababu ambayo inaweza kufanya postmortem kua ngumu ni kuharibika kwa mwili (decaying ) hivyo hata kama wangepokea bado kupata majibu sahihi ingekua ngumu

    • @dork8749
      @dork8749 9 месяцев назад

      @@gabrielutou20 are u sure?

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 9 месяцев назад +1

      ​@@gabrielutou20kwa teknolojia ya sasa post mortem inafanyika hata baada ya miaka.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 8 месяцев назад +1

    Duh pole sana kwa ndugu ,jamaa na marafiki🙏🙏🙏

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 9 месяцев назад +20

    Inawezekana alikuwa mtu wa kujitenga sana sio mtu wa kampani

    • @shamlimah5682
      @shamlimah5682 9 месяцев назад

      Kwa Nini ?

    • @shantellemwanakombo3703
      @shantellemwanakombo3703 9 месяцев назад

      Kwasababu hakuna hata mtu mmoja alimtafuta kwa njia ya simu hadi 3days zinapita kweli?​@@shamlimah5682

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 9 месяцев назад

      Kwa sababu kuna watu si mtu wa marafiki sana ​@@shamlimah5682

    • @IreneIsaya-ek5pc
      @IreneIsaya-ek5pc 9 месяцев назад

      Ni mtu wa kampan tena sanaa

    • @svt3
      @svt3 9 месяцев назад

      ​@@shamlimah5682kuishi na watu ni kazi mara nyingine unaona tu ukae mbali na walimwengu kuliko kuzinguwana kila siku

  • @YusrahMohammed-rq1lz
    @YusrahMohammed-rq1lz 9 месяцев назад +19

    Siku tatu tafrani duniani unanuka vibaya kila mtu hatamani ubaki kwenye ardhi na mortuary pia wanakukataa...lakin sie sie wanadamu tunaringa km hatuozi

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 9 месяцев назад +5

      Wewe acha tu , mimi nilishashtuka siku nyingi siringi

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 9 месяцев назад +2

      Ndio hapo sasa ndugu yangu tumejawa na maringo tumesahau kuwa hii miili tulionayo ni uozo tu

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 9 месяцев назад +1

      ​@@judyngowi391 bora umeshituka mapema umefanya vizuri

    • @AshuraMaulid
      @AshuraMaulid 9 месяцев назад +1

      Na maisha ya saivi mtu akijipata kidogo tu kimaisha anaringa mnoo mimi nina wifi yangu alikuwa anasoma muda mwingi akihitaji msaada anapewa na kaka yake ambae ni mume wangu alikuwa mpole anaheshima anahuruma....jamani hii miaka mitano kajipata kapata kazi nzuri kafungua maduka ya nguo, viatu, jamani kawa mkali, mbinafsi hataki mawasiliano na ndugu anamtukana mpka kaka yake aliekuwa anamsaidia Mama yake mzazi aliumwa akawa anamnyanyapaa nyie kabadirika mnoo 😢😢😢😢

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA 9 месяцев назад

      ​@@AshuraMaulid uyo ni mtu wa hovyo sana kwa kujisikia huko

  • @priscaelias1144
    @priscaelias1144 8 месяцев назад

    Pole sana kwa Familia Mungu awape faraja

  • @AsheyAmey-hl5em
    @AsheyAmey-hl5em 9 месяцев назад +4

    Hayo maelezo ya mdogo wake bnafsi sijaelewa kufika nje kasikia harufu hajui hata ya nini anampgia cm baba yake moja kwamoja anamwambia asingie peke yake alijua nini? mpk amzuie asingie mwenyewe au hata kuchungulia madirishani na vipi milango ilifungwa au aliikuta wazi

    • @sadockmhinza699
      @sadockmhinza699 9 месяцев назад +1

      Nimewaza kama wewe lakini vipi je una mwanasheria mzuri?

    • @AsheyAmey-hl5em
      @AsheyAmey-hl5em 9 месяцев назад

      @@sadockmhinza699 😁🤗 nimewaza tu jmn

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 9 месяцев назад

      Dunia ina mambo hii jamani! Siri sirini

    • @SuzanFelix-mo8fq
      @SuzanFelix-mo8fq 9 месяцев назад +1

      😅acha kutuchekesha wenzio tumefiwa

    • @SGIT-jd6fg
      @SGIT-jd6fg 9 месяцев назад

      @@sadockmhinza699 sasa kama mtu yupo ndani si lazima mlango umefungwa ndio maana wakaja kuuvunja na mashuhuda ndio maana kabla ya kuuvunja alimuuliza baba yake kwanza na kumueleza hali aliyokutana nayo ya harufu

  • @seifibrahim3883
    @seifibrahim3883 9 месяцев назад +2

    Mtajua vp na mtu kazikwa ata bila kuosha kaharibika, aiwezekani kujua sababu ya kifo ni kumuombea kwa mungu aende salama

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 9 месяцев назад

    Poleni saana jamani.ila maisha ya kuishi pake yako sio mazuri.natamani hata angeweza kishi na ndugu wa mbali tu.wawili ni wawili haswa mida ya usiku.

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640 8 месяцев назад

    Poleni sana wanagqmilia jamani duh inaumiza mnooo mtu kufa akiwa peke yake na mwili kuharibika

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 8 месяцев назад

    Binaadamu kulala ktk nyumba peke yake bila ya kuwepo mtu mwengine sio jambo sahihi, binadamu tumeekewa mitihani ya kila aina na Mwenyezi Mungu, kwaiyo lolote linaweza kumtokea na kwa wakati wowote kama kuumwa, kufa, kupata ajali nk kwaiyo binadamu sio sahihi usiku kulala peke yake

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma 8 месяцев назад

      Usiseme hivyo niko poke angu wenye nyumba wamesafiri leo siku ya Tatu na huku hamnaga ujirani😢😢😢Allah Atulinde

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 9 месяцев назад +4

    Mungu wangu nyie jamani ina mana hakuwa hata na dem wa kuish nae jaman😢😢😢😢😢

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 9 месяцев назад +16

    Uyo dogo ktk maelezo yake mbona kama kuna kitu cha kupanga vile why baba yake aseme tafuta askar mjumbe au askar.

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 9 месяцев назад +3

      Hayo ya kawaida

    • @adoniemanuel908
      @adoniemanuel908 9 месяцев назад +3

      Kwanini baba alikimbilia kwamba tafuta balozi au maaskari kwakuamiwa tuu amesikia harufu yeye alihisi nini huyo baba

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 9 месяцев назад

      eti nami nimebakia sielew

    • @amourabdallah2978
      @amourabdallah2978 9 месяцев назад

      Mimi pia nimeona kitu huyu mdogoake akiminywa kende ataongea ukweli,hapo kunakitu sio bure waanze na huyo dogo

    • @princejuma
      @princejuma 9 месяцев назад

      Nilifikiri nimimi tu naeona story fulani

  • @RUTAMANTZ
    @RUTAMANTZ 9 месяцев назад +3

    Mdogo wa marehemu ana changanya luhaa sana bhana

    • @HannanSomaiyah-wp7ny
      @HannanSomaiyah-wp7ny 9 месяцев назад +1

      @@RUTAMANTZ Alhamduli'llah 🙏 Si msomi,What the meaning Mji Wa Arusha,Hakunaga Mambumbumbuu kabisa 🙏

    • @renaldasilvery110
      @renaldasilvery110 9 месяцев назад

      ​@@HannanSomaiyah-wp7nymmmh!!

  • @ClaraGurti
    @ClaraGurti 16 дней назад

    Swali gani eti mwili ulikua na Hali gani 😢😢😢

  • @Kibaadvocate
    @Kibaadvocate 9 месяцев назад +12

    Hiyo familia itakuwa na shida ina maana siku tatu bila kuwasiliana

    • @FaithOluouch75
      @FaithOluouch75 9 месяцев назад +4

      Watu tunakaaa week kitafutana inategemea mnakaa nyumba moja au mnafanya kaz pamoja apo tunge laumu

    • @annafredinandmatandiko8438
      @annafredinandmatandiko8438 9 месяцев назад

      Et jamani

    • @IreneIsaya-ek5pc
      @IreneIsaya-ek5pc 9 месяцев назад +1

      Anaishi peke yake hapo na mpangaji mmoja tu ,mpagaji wake ni wakiume nq haishi na familia yake ni mtu wa safari

    • @naomikatharinaandrewmnkai6760
      @naomikatharinaandrewmnkai6760 9 месяцев назад

      Soooooo Sad😭😭😭😭😭😭kwanini afureee Kama c sumu ? Kwa Nini mumzike kabla ya postmortem?

    • @esamwakilasa
      @esamwakilasa 8 месяцев назад

      Point 😢​@@naomikatharinaandrewmnkai6760

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 9 месяцев назад +14

    Emu muwe munaandika kichwa cha habar vizur ukisema tajir mbona anaonekana namaisha ya kawaida tuu all in all mungu amlaze mahali pema

    • @jasmineeomary2041
      @jasmineeomary2041 9 месяцев назад +13

      Na ww uwe unasoma vizuri amesema mtoto wa tajiri yani baba ake ndo tajiri sio yy woooii

    • @dorcaserick4473
      @dorcaserick4473 9 месяцев назад

      Yaan ni wapuuz sana cjui kwann apotoshe

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 9 месяцев назад

      macho ya jackline yanashida

    • @husnathabiti4114
      @husnathabiti4114 9 месяцев назад

      Yule mdogo wa mtu mbona simuelew

    • @HalimaChuwa-kk5lt
      @HalimaChuwa-kk5lt 9 месяцев назад

      ​@@husnathabiti4114dogo anajikanyaga sana

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 9 месяцев назад +1

    Maelezo ya dogo hayaeleweki 2 week au 3 bila mawasaliano wote mko arusha na kwanini usipige simu yake kwanza na kwanini usimpigie marehemu kwanza na kwa nini usimpigie kwanza beni uko wapi ili ujue hapokei yupo ndo uende kwake

  • @RobertRange-uf3rf
    @RobertRange-uf3rf 8 месяцев назад +1

    Ukisikiliza maelezo ya huyu mtoto kuba haja ya kuhojiw na police

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv 9 месяцев назад

    Msimlaumu mdogo wake angeingia moja moja napo pangekuwa na tatizo hii nchi ni shida ,Na pia kama anajichanganya kujieleza Kufiwa nikugumu mno ,Binafsi huwa sijui kujieleza

  • @EmilyAlph
    @EmilyAlph 9 месяцев назад +2

    Wiki,wiki 2 hakuna aliyempigia simu??😰
    Duh
    Apumzike kwa Amani Ben🙏

    • @farajiissa560
      @farajiissa560 8 месяцев назад

      Sasa nan atapokea bro inaweza ita tu ukajua yupo bize

  • @tatusalehe8775
    @tatusalehe8775 9 месяцев назад +2

    Tujitahidi kuishi na watu ndani ya nyumba hata msaada mdogo unakosa

  • @jojotz1210
    @jojotz1210 9 месяцев назад

    Kifo ni fumbo sana😭 mdog angu alifariki ghafla pia sis bila kujua siku nzima ad jion tukaj kujua

  • @josephmusagasa
    @josephmusagasa 9 месяцев назад

    Uchunguzi ufanyike kwa kina, inawezekana pengine kuna wabaya wake ambao pengine walimuua kisha wakafunga mlango. Mbona hainiingii hiyo?

  • @MaryMichaelMaryMichael-i7o
    @MaryMichaelMaryMichael-i7o 9 месяцев назад

    Hiv mbona hi Arushayetu matukio n ming sana as uku kwenye wilaya ya meru😢😢😢

  • @azizaali687
    @azizaali687 9 месяцев назад +8

    Jamani arumeru haupiti hata mwezi tukio juu ya tukio Allah atupe mwisho mwema

    • @SalomeHaonga
      @SalomeHaonga 9 месяцев назад

      Mara mtu kafufuka jana

    • @SalomeHaonga
      @SalomeHaonga 9 месяцев назад

      Mara mtu kafufuka jana

    • @SalomeHaonga
      @SalomeHaonga 9 месяцев назад

      Mara mtu kafufuka jana

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 9 месяцев назад

    Pole kwa familia M/MUNGU ilaze roho ya marehem mahali pema peponi

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 9 месяцев назад +13

    Mhhhh sio kitu cha kawaida hiki kuna mawili kauliwa na watu au mambo ya Imani za kishirikina ikiwemo kutolewa kafala 😢😢

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 9 месяцев назад

      👍🤔

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 9 месяцев назад

      Kutolewa kafara nimekuelewa ndugubyangu

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 8 месяцев назад

      Kafara tuu hiyo, ck hizi kuna cm bhana kama angekuwa na changamoto lazima angemwambia mtu yeyote wa karibu naye

  • @OscarDongo
    @OscarDongo 8 месяцев назад

    Kuna swali najiuliza hapa, kwanini huyo mdogo mtu alivyokutana na hiyo harufu, hakupiga simu ya kaka yake ambaye ndio marehem akapiga simu ya Baba,wengi mtahoji kwa nini ampigie marehem, ni kwa sababu alikuwa hajui harufu ni ya nini, ni bora angepiga simu ya marehem hara kama ingeita bila kupokelewa au isingepatikana ndio angeendelea na hatua inayofuata, kama kuongea na mzee wao ama majirani, lakini unakuta harufu tu alafu direct kwa mzee bila kujua kaka yako yuko wapi na ile harufu ni ya nini!? Simuingizi hatiani huyo dogo ila kwa umri wake alitakiwa awe na logic kwenye maelezo yake, 'REASONING', Something is not OK somewhere........

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 9 месяцев назад +25

    Arusha ukiwa muuza madini shida Sana

  • @rehemamnyeke
    @rehemamnyeke 9 месяцев назад +4

    Sema nini Arusha ubinafsi ndio umetawala..kila mtu anajikuta ana maisha yakeee, mnaweza mkawa mnakaa jirani na msionane hata wiki tatu na bado mtu hastuki wala nini na hasa ukiwa wakuja umekwisha for sure😢

    • @jacquelinemwakasala9563
      @jacquelinemwakasala9563 9 месяцев назад

      Dah hiki kitu Tanzania hii ukienda sehemu ukiwa wa kuja shida sana

    • @AshuraMaulid
      @AshuraMaulid 9 месяцев назад

      Kabiiisaa ubinafisi mwingi sana kule

    • @lucianagodson437
      @lucianagodson437 9 месяцев назад +1

      Sio kweli jmn labda mlikutana na WA bahat mbaya

    • @kanankirannko6174
      @kanankirannko6174 9 месяцев назад

      Kabisa huku mjini undugu ni siku ya msiba tu ,maisha ya kawaida kutembeleana ni nadra sana ikiwa muhimu sana mnaongea kwenye simu, ila vijijini hakuna maisha kama haya jamani wanatembeleana hii sio tabia nzuri kabisa .ukimkosa Jirani yako siku 2 mpigie japo napo kama kuna la kutokea upelelezi na uchunguzi unakuhusu

  • @fatmayahya2483
    @fatmayahya2483 8 месяцев назад

    Jaman tuwe tunajuliana hali hata kwa simu tu inatosha... 3 days kaka au mwanao kipenz kafa kaoza nyie hamjui....yote ni kutowasiliana..atleast busy lkn mpigie sim ndug, baba kaka ujue tu kaamkaje...then endelea na busy yako..

  • @naftalkileo5224
    @naftalkileo5224 5 месяцев назад

    Hivi Arusha kila mtu akifa kama anamiliki gari tu basi tajiri au?

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 9 месяцев назад +19

    Arusha Mungu isaidie ina majanga sana kwakwel😢

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 9 месяцев назад +2

      Majanga mtu kufariki? Huko kwenu watu hawafi?

    • @NicksonIsraeli
      @NicksonIsraeli 9 месяцев назад +2

      Umewaza Kama nilivyowaza Leo hiyo ajali ya moto mungu atusaidie

    • @robertigohe7477
      @robertigohe7477 9 месяцев назад +1

      Yesu ni wa muhimu mno

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 9 месяцев назад +1

      Na ndo mkoa pekee ulokua unapatikana tanzanite duniani kabla ya kugawanywa kuwa manyara so kwasisi bado tunaoana tumependelewa wageni ndo wanatuharibia

    • @nadiatanzania
      @nadiatanzania 9 месяцев назад

      @@PrinceHendry-hp8vv Mungu awasadie msimame sana na maombi 🙏

  • @anenragnesmunis8490
    @anenragnesmunis8490 9 месяцев назад +1

    Jaman haya mambo yapo sana hata sisi binam yetu alifia ndani hivyo hivyo kijana majirani hawakujua kama yupo ndani anapigiwa sm kazini haipokelew kuja nyumbani sm inaitia ndani wakavunja mlango siku ya tatu hatari

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 9 месяцев назад +1

    Duh alikuwa haishi hata na dada wa kazi jaman😢 hatar hii sana

  • @neemadeo7803
    @neemadeo7803 8 месяцев назад

    Siku 3 hujapigiwa simu na ...ndugu...rafiki....wafanya kali wenzio?
    Siku 3 mwili umeharibika vibaya how...watu wanafukuliwa na miezi?
    Mnieleweshe jamani.....

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 9 месяцев назад

    Daah asee Innallillah wainaillah rajiun 🕊️

  • @EmmanuelProtuce
    @EmmanuelProtuce 9 месяцев назад

    Ndiyo zake zimeishia hapo Mungu amlaze vema pepon

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 9 месяцев назад +2

    Mimi ninavo ogopa kuishi mwenyew😭😭😭mungu wngu tunaomba mwisho mwema

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 9 месяцев назад +1

      Kwaulivyo mrembo ukiishi mwenyewe umejitakia Kama Hauna mume muombe MUNGU akupe mume mzuri natumai itakuwa Hivyo 🙏🙏🙏

    • @swaiseif2989
      @swaiseif2989 9 месяцев назад

      @@Jurbeg niyamume saiv alhamdulilah namshukr mungu

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 9 месяцев назад +1

    Vijana oweni acheni ufala ona sasa mtu anajifia mwenyewe angelikuwa na mke au mtu anaishi naye yasingemkuta yalio mkuta

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 9 месяцев назад +12

    Duh arusha kila mtu tajiri
    Any way poleni wanafamilia

    • @markmushi8940
      @markmushi8940 9 месяцев назад +2

      Ni matajiri kwa asilimia 70au80 mkuu arusha si seem ya kuishi wachovu

    • @kevinkatima4975
      @kevinkatima4975 9 месяцев назад

      Kumbe!​@@markmushi8940

  • @kenethpatrick6634
    @kenethpatrick6634 9 месяцев назад

    Jambo la kufikirisha hizo siku zote walikua hawana mawasiliano ya kupigiana simu ili kujuliana hali kama ndugu wa familia

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 9 месяцев назад +1

    Apumzike kwa amani 😢😢😢ndio tujue sie binadamu c chochote c lolote pumzi isituhadae 😢

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 9 месяцев назад

    Subhana Allah😢 pole kwa familia

  • @ElizabethKidogomaa
    @ElizabethKidogomaa 9 месяцев назад +16

    Tusali sana

  • @LipiSuleiman
    @LipiSuleiman 5 месяцев назад

    Poleni sana mbele yake nyuma yetu

  • @ZawadiJohn-j1q
    @ZawadiJohn-j1q 4 месяца назад

    Huko arusha huko kuna nini? Mwe

  • @frankmeza1297
    @frankmeza1297 8 месяцев назад

    Kijana una maisha oa kuna ulinz kwenye kuoa

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 9 месяцев назад +5

    Sasa wewe mdogo mtu tangu mmetoka kwenye mizunguko yenu ina maana hujaweza kumpigia simu kumjulisha umefika nyumbani salama inakuwaje siku zote hukumtafuta kwa simu halafu unaenda tu kama unajua nini kimetokea! Binafsi sijaridhishwa na maelezo yako

  • @jasminshemsanga8727
    @jasminshemsanga8727 8 месяцев назад

    Imenikumbusha kifo cha mama angu mdogo😢😢😢

  • @godfreyjohn3847
    @godfreyjohn3847 8 месяцев назад

    Uyu s bensin machange nilisoma nae 😭😭 pamba sec

  • @NiceMbuya-s4t
    @NiceMbuya-s4t 9 месяцев назад +1

    Hapo hamna ndugu mtu anakufa mpaka ananza kuoza hata kujiliana hali

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 9 месяцев назад +1

    Ujiga kabisa kaka yako ete kisa karibika huwezi kumwagalia amakwli 😢

    • @dazuujuma778
      @dazuujuma778 9 месяцев назад +1

      Usimlaumu kila mtu na nafs yake ndugu yangu

  • @abdallahrashid2899
    @abdallahrashid2899 9 месяцев назад

    Hivi Arusha mbona imatukio mengi Yani Kila ukiripoti taarifa lazima Arusha kwa wingi shida nini??

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 9 месяцев назад

    Hakuna part2?

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 9 месяцев назад

    Kuishi mwenyewe ni tatizo sasa uwezi jua ila sio tukio la kwanza Kuna mdada pia alikufa hapo kwa iddi

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 8 месяцев назад

    Mungu mm nakaaa mwenyewe geto nilinde rafik yangu ni mama tu

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma 8 месяцев назад

      Kwani huna majirani?

    • @hkaniugu
      @hkaniugu 5 месяцев назад

      Kama mimi tu 😢

  • @SurprisedAstrolabe-id9gc
    @SurprisedAstrolabe-id9gc 9 месяцев назад +5

    Kaka yenu anapotea siku moja siku mbili siku tatu hamjui yuko wapi mpaka anaoza nyumbani kwake, yani familia ya kitajiri???

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 9 месяцев назад

      Life style yao sijui ikoje?inakuwaje siku inapita hamjawasiliana na mndugu yenu

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 9 месяцев назад +1

      Hapo kwenye utajiri, yaani utajiri wa miakahii unatuogopesha sana

  • @Realme-xm3sh
    @Realme-xm3sh 4 месяца назад

    Sub hanallah 😢😢

  • @graceabdallah2670
    @graceabdallah2670 9 месяцев назад +1

    😢😢hivyo amezikwa bila kufanyiwa vipimo vyovyote au

  • @leahmarai4177
    @leahmarai4177 8 месяцев назад

    No post mortems in tz or what? At least kujua cause of death?

  • @lesliesolomon3624
    @lesliesolomon3624 8 месяцев назад

    Poleni sana....Inahuzunisha